HATIMAYE BRAZIL YAJIKITA KILELENI KATIKA SOKA
Hatimaye shirikisho la soka ulimwenguni (FIFA) laitaja timu ya soka ya barani amerika ya kusini, Brazil kuwa timu namba moja duniani kwa ubora kwa sasa. Takwimu hiyo mpya imeiweka timu ya Brazil kileleni ikifuatiwa na hasimu wake mkuu Argentina huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na Ujerumani
Huku bara la Afrika timu ya taifa ya Misri ikishika nafasi ya 19 katika ubora wa soka ulimwenguni
Huku bara la Afrika timu ya taifa ya Misri ikishika nafasi ya 19 katika ubora wa soka ulimwenguni
No comments